Mikopo Binafsi
Mikopo nafuu ya kukidhi mahitaji yako binafsi na ya kibiashara, kwa marejesho ya mwezi mmoja hadi miezi mitatu.
Jifunze zaidiImarisha Maisha Financial Services hukuwezesha kupata mkopo ndani ya dakika 15 ukiwa ofisini. Mikopo ya magari, mikopo binafsi, bima na huduma za kifedha — zote sehemu moja.
Tunafanya kazi na taasisi za kifedha zinazoaminika
Kuanzia mikopo ya haraka hadi bima na huduma za malipo — tunakuhudumia kwa weledi na uwazi.
Mikopo nafuu ya kukidhi mahitaji yako binafsi na ya kibiashara, kwa marejesho ya mwezi mmoja hadi miezi mitatu.
Jifunze zaidiPata mkopo kwa dhamana ya gari, bajaji au pikipiki. Mchakato wa haraka na masharti rafiki.
Jifunze zaidiTunakusaidia kumiliki gari kupitia mpango wa malipo unaokubalika — chagua gari, lipa kidogo kidogo.
Jifunze zaidiLinda mali na maisha yako kupitia huduma zetu za bima zinazoaminika na za bei nafuu.
Wasiliana nasiM-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money, CRDB na NMB — tuma, pokea na lipa kwa urahisi sehemu moja.
Wasiliana nasiLipa mkopo wako kwa kutumia kumbukumbu namba (control number) kupitia CRDB, NMB au M-Pesa.
Hatua za malipo
Tumejijengea jina kwa kutoa huduma za haraka, nafuu na za uwazi. Mteja akifika ofisini, huhudumiwa ndani ya dakika 15 na kupokea kiasi alichoomba kwenye akaunti yake.
Fika tawi letu lolote lililo karibu nawe ukiwa na vitambulisho husika.
Jaza fomu ya maombi pamoja na dhamana (gari, bajaji au pikipiki).
Maombi yako huchakatwa na kuidhinishwa ndani ya dakika 15.
Kiasi ulichoomba huingizwa moja kwa moja kwenye akaunti yako.
Binafsi huduma zenu ni nzuri, mnajali muda, mnawajali wateja na kuwasikiliza vizuri. Kwangu sijaona changamoto yoyote tangu nianze kuwa mteja wenu.
Huduma zenu ni nzuri, mnasaidia sana wakati mtu unapopatwa na dharura, hasa kwa wanaohitaji huduma ya fedha kwa haraka.
Huduma zenu ni bora na zina mchango mkubwa katika maisha yangu. Nathamini jinsi mnavyohakikisha wateja wenu wanapata msaada unaohitajika.
Ninachofurahishwa nacho zaidi kwenu ni namna mnavyowajali wateja wenu. Binafsi ningependa kusema huduma zenu ni nzuri na zinasaidia sana.
Nashukuru kwa huduma bora mnazotoa. Ninavutiwa na jinsi mnavyowajali wateja wenu, na bila shaka huduma zenu ni za manufaa na zinatoa msaada mkubwa.
Nimefurahi sana na huduma mnazotoa. Inaonekana mnaweka juhudi nyingi kuhakikisha wateja wenu wanapata huduma za kipekee na zinazosaidia kwa hali yoyote.
Kiujumla niseme tu, huduma zenu ni nzuri sana. Na mmekuwa na utaratibu mzuri na wenye kuokoa muda katika kutoa huduma.
Tembelea tawi letu lolote katika mikoa ya Dodoma, Dar es Salaam, Mwanza na Mbeya.
Imarisha Maisha hatutoi mikopo kupitia mitandao ya simu wala hatutozi gharama yoyote ya awali. Mikopo yote hutolewa ofisini kwetu pekee. Akaunti zetu rasmi za mitandao ya kijamii ni @imarishamaishaltd tu (Instagram & Facebook).
Akaunti za matapeli za kuepuka:
Majibu ya maswali yanayoulizwa zaidi kuhusu mikopo na huduma zetu.
Omba mkopo mtandaoni au tembelea tawi letu lililo karibu nawe. Timu yetu iko tayari kukuhudumia.