Ni kampuni binafsi inayojihusisha na masuala ya mikopo ya dharura kwa watu binafsi pamoja na mikopo ya magari na bima. Kampuni inapatikana mtaa wa Uhindini mkoani Dodoma, Tabata Bima,mikocheni, Dar es Salaam na Mission-Kirumba, Mwanza. Kampuni imesajiliwa chini ya sheria ya makampuni ya mwaka 2002 na kuanza kazi tarehe 16 mwezi wa 11 mwaka 2016. Imarisha maisha ina utambulisho wa kampuni namba 130743 na TIN namba 131-930-976, tunatoa mikopo kwa dhamana rahisi kama gari, pikipiki au bajaji. Mikopo hutolewa ndani ya muda mfupi na riba zetu ni nafuu sana.
Mikopo yetu ni nafuu
Huduma zetu ni za haraka na uhakika
Kwetu mteja ni Mfalme
Tuna uzoefu wa muda mrefu
Imarisha Maisha Financial Services limited inasimamiwa na kuendeshwa na vijana shupavu na wenye maono makubwa katika kuleta mabadiliko ya kimaendeleo ndani ya jamii.